Proverbs 2:3-6


3 ana kama ukiita busara
na kuita kwa sauti ufahamu,

4 bna kama utaitafuta kama fedha
na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,

5 cndipo utakapoelewa kumcha Bwana
na kupata maarifa ya Mungu.

6 dKwa maana Bwana hutoa hekima,
na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.
Copyright information for SwhKC